KITUO CHA KWANZA KILIKUA KARAVAN SERAI, JAMAA YETU LAZIMA AKUKARIBISHE LAKINI NI MGUMU SANA KUTOA TABASAMU HATA UMCHEKESHE VIPI.
 |
| PICHA YA KUMBUKUMBU MUHIMU |
NAKAENDA KUTEMBELEA KIJIJI CHA KAOLE
 |
| KABURI LA SHARIFA, WENGI HUAMINI WAKIOMBA KITU HAPA NA KUWEKA SADAKA ZAO BASI HUFANIKIWA HIVYO NI SWALA LA IMANI YA MTU BINAFSI |
 |
| KABURI LA WAPENDANAO (MUME NA MKE WALIZIKWA PAMOJA HAPA BAADA YA KUKUTWA UFUKWENI MWA BAHARI WAKIWA WAMEKUMBATIANA KATIKA HALI YA UMAUTI ) |
 |
| KILA MTU AKIJARIBU KUPATA PICHA YA KUMBUKUMBU KWENYE HAYO MAKABURI |
 |
| NIKAUSHUHUDIA ULEEE MBUYU WENYE MIAKA ZAIDI YA 800, KWA MBALI UTAONA WADADA WENGINE WAKIPATA PICHA YA MTI HUO NI WANACHUO WA KIU (KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY) |
BAADA YA HAPO TUKAELELEA ZETU NGOME KONGWE
 |
| SEHEMU YA KUTOKEA KWA NYUMA |
 |
| NGOME YA MJERUMANI IONEKANAVYO KWA SASA |
 |
| VYUMBA VYA JUU NA CHINI |
 |
| NGAZI ZA MJENGO |
 |
| MUONEKANO WA CHINI |
 |
| MOJA YA ROOM ZILIZOTUMIKA |
 |
| WALIPO NYONGEA WAZEE WETU |
 |
| PICHA YA KUMBUKUMBU |
 |
| NIKAFIKA MSALABANI NA KUPATA PICHA YA KUMBUKUMBU |
 |
| KANISANI |
 |
| NIKAMALIZIA NA KUINGIA MAKUMBUSHO, NA HII NDIO KANDAMBILI WALIZOVAA ENZI HIZO |
KUNA VITU VINGI VIZURI VYA KUJIFUNZA BAGAMOYO SIWEZI MALIZA VYOTE HAPA, KUFAIDI ZAIDI PITIA BAGAMOYO.
No comments:
Post a Comment