Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By | Blog Gadgets Via Blogger Widgets

Thursday, July 11, 2013

TUMEBADILI MUONEKANO WETU KATIKA KUBORESHA KAZI ZETU

OFFICIAL LOGO

              KUTUPATA KWA SASA BOFYA LINK HII YA MAPOCHITZ.BLOGSPOT.COM

                                                             KARIBUNI SANA

Wednesday, July 10, 2013

TAARIFA YA UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KUINGIA KIDATO CHA TANO KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2013

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO YA UFUNDI 2013 - WASICHANA NA WAVULANA


 WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO UFUNDI NA CHUO CHA 'MANEGEMENT' NA MAENDELEO YA MAJI
Wanafunzi Kuripoti katika shule walizopangwa
 Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai. Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika. Aidha, kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu wa shule wameelekezwa kufanya taratibu za kuazima walimu wa muda na kutoa taarifa kwa uongozi wa halmashauri husika kuhusu upungufu wa walimu uliopo. Kwa nafasi hii, ninaagiza wanafunzi wote kuripoti katika shule walizopangwa tarehe 29 Julai, 2013. Kama kutakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuhamia shule nyingine, uhamisho wa kawaida utafanywa baada ya kuripoti shuleni kupitia kwa mkuu wa shule husika, Mkurugenzi wa Halmashuri/Manispaa na Katibu Tawala wa Mkoa. (Wizara haitabadilisha shule walizopangwa wanafunzi)

Wanaporipoti wanatakiwa kuwa na:
   Original Result slip na Living Cerificate

KUONA ORODHA YA WASICHANA BOFYA HAPA NA WAVULANA BOFYA HAPA

ANGALIZO: IKIGOMA ITAKUPA HII TAARIFA "Database Error: Unable to connect to the database:Could not connect to MySQL" REFRESH PAGE HADI IFUNGUE.

Tuesday, July 9, 2013

MAFUTA YA UBUYU YANA TINDIKALI YA MAFUTA - TFDA


BAADA ya kuonya wananchi wanaotumia dawa za tiba mbadala ambazo hazijathibitishwa, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), sasa inawataka wananchi kuacha kutumia mafuta ya ubuyu kwa kunywa kama dawa. Akizungumza juzi katika Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwanza, alisema Mamlaka hiyo ilipima na kubaini mafuta hayo yana tindikali ya mafuta. Alifafanua katika maonesho hayo maarufu kama Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, kwamba mafuta hayo hayafai kuliwa na binadamu na anayekunywa kwa wingi, yuko hatarini kupata saratani za aina tofauti tofauti.
"Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la wajasiriamali wanaouza mafuta ya ubuyu kama dawa, kwa kuwaelekeza wananchi kunywa. Napenda kuwataarifu kuwa mafuta hayo ni hatari kwani yana tindikali ya mafuta," alisema. Mwandishi alipata sampuli ya vielelezo vya matumizi yake na manufaa yake mwilini, kama inayotangazwa na wajasiriamali katika maeneo mbalimbali na hata katika mitandao. 

"Ni mafuta yatokanayo na mbegu za ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Yana ubora kuliko mafuta mengine ya kupikia, yana Vitamin A, B, C, D na F. Pia yanatibu magonjwa mbalimbali," kielelezo kimoja kilinadi ubora wake katika mitandao ya jamii.
Mafuta hayo yamedaiwa kutengeneza seli zote ndani ya mwili, kuzuia ngozi isiharibike wala kupata makunyanzi, kuondoa mafuta  ndani ya mishipa ya damu na yanapunguza uzito uliozidi. Pia inadaiwa yanarutubisha ini na figo, yanaleta hamu ya kula, yanaimarisha mifupa, kucha na nywele, yanaongeza kinga ya mwili (CD4), yanaondoa sumu na yanatengeneza sukari iwe katika kiwango kinachotakiwa.Maelezo hayo yameendelea kusifu kwamba yanasaidia kuona vizuri na kujenga kumbukumbu, yanapunguza vitambi na matumbo makubwa, yana virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini.

ELIZABETH KITCHEN PARTY

BI HARUSI: ELIZABETH

MC: GLORY (MAMA BRIAN)
DJ: TUNTI
UKUMBI: NYUMBANI-TABATA KIMANGA

Hii shughuri ilikuwa ya jikoni kwelikweli kwani kila kona kina mama walifanya kazi yao hakuna cha mwanaume kuanzia muziki hadi mc, na walikuwa nyumbani kwa kina biharusi mambo yakaenda kama yalivyopangwa; jionee picha.



ELIZABETH AKISUBIRI KUSHUKA KWENYE GARI

AMASO AGO ELIZA, MWE UKUTI JO MISS KYELA...HA HA HA ASIYEJUA KINYAKYUSA IMEKULA KWAKE
TABASAMU LA UKWELI


MEZA KUU YA ELIZA
MC GLORY (MAMA BRIAN), NIMEKUBALI KAZI YAKO DADA

Monday, July 8, 2013

JUST IN LOVE WITH IT



"But now that I am old, moving every year closer to the end of my life, I also feel closer to the beginning. And I remember everything that happened that day because it has happened many times in my life. The same innocence, trust, and restlessness; the wonder, fear, and loneliness. How I lost myself.  I remember all these things. And tonight, on the fifteenth day of the eighth moon, I also remember what I asked the Moon Lady so long ago. I wished to be found."
— Amy Tan, The Joy Luck Club

AFRICANDO


QUOTE OF THE DAY BY NELSON MANDELA


PAMBO LA JIKONI

Katika pita pita zangu mtandaoni, nikakutana na haya mapambo ya kisanii zaidi, si vibaya ukayaona na pengine ukapeleka kwa fundi seremala akakutengenezea ukapamba jikoni kwako.



Hii naona wameweka kwa ukutani, mweee!!! mashikolo mageni

FULL FEE WAIVER SCHOLARSHIP FOR INTERNATIONAL STUDENT AT THE UNIVERSITY OF WESTMINSTER IN UK, 2014



University of Westminster offers scholarships for international students in UK. The scholarships are available for pursuing postgraduate degree level. The University offers a number of full tuition fee waiver scholarships to students if they are an exceptionally well-qualified student. Please note that this covers tuition fees only not living expenses or accommodation. Application should be submitted till 1st November 2013.
Study Subject(s): Scholarships are provided any one courses offered by the University of Westminster in UK.

Course Level: Scholarships are available for pursuing postgraduate degree level at University of Westminster in UK.

Scholarship Provider: University of Westminster, UK

Scholarship can be taken at: UK

Eligibility: Applicants must hold an offer for a full-time Masters degree at the University.
Scholarship Open for International Students: EU/UK and international students can apply for these scholarships.

Scholarship Description: Applicants can only apply for a scholarship once you have been offered either a conditional or unconditional place on your chosen course. We cannot consider your application for a scholarship if you have not already made an application for admission and been successfully offered a place on a course. Only apply for scholarships for which you are eligible – check the eligibility criteria for each scholarship, either in the brochure or on the website to make sure you qualify before applying. Unless you are applying for a specific scholarship, just tell us what level of support you require (e.g. fees only, fees and accommodation, etc.) and we will match the scholarship to your needs where possible. Make sure your application is well presented and includes all the requested documents.

Number of award(s): Not Known

Duration of award(s): Not Known

What does it cover? The University offers a number of full tuition fee waiver scholarships to you if you are an exceptionally well-qualified student. Please note that this covers tuition fees only, not living expenses or accommodation.

 Selection Criteria: The scholarships will be awarded on the basis of academic excellence, financial need and development case (if you are applying from a developing country).

Notification: Not Known

How to Apply: The mode of applying is by post.

Scholarship Application Deadline: The application deadline is 1st November 2013.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...